.

.

Jumatano, 26 Aprili 2017

Ni jambo la busara kwa mwalimu kuvifanyia vielelezo/zana majaribio kabla ya kuvitumia.
Hatua hii humwezesha kufanya yafuatayo:-
a)     Kuona kama zana/ vifaa ni vizima au ni vibovu viweze kutengenezwa/ kununua/ kutafuta vingine.
b)     Kuhakikisha kama zana/ vifaa hivyo vinafanya kazi kwa usahihi kama vilivyokusudiwa
c)     Kujiamini katika kufundisha hatua anuai za somo lake na kutumia vielelezo vyake
d)     Kujua uthabiti na udhaifu wa vielelezo vyenyewe
e)     Kuhakikisha kwamba havijaharibika, na kama vimeharibika aweze kuandaa vingine kabla ya siku ya somo lenyewe
f)       Kufahamu madhara yanayoweza kuletwa na vielelezo hivyo mfano:- Tindikali  n.k.
g)     Kufahamu namna ya kutumia vielelezo hivyo.

JIUNGE NA CHUO CHA UALIMU AGGREY-MBEYA

0 maoni:

Chapisha Maoni

AGGREY TEACHERS' COLLEGE MBEYA

AGGREY TEACHERS' COLLEGE MBEYA

LIKE US ON FACEBOOK

VIEWERS

Aggrey Teachers' College-Mbeya. Inaendeshwa na Blogger.

PAKUA APP YETU HAPA

E-LIBRARY (MAKTABA)

E-LIBRARY (MAKTABA)
SOMA VITABU HAPA.

Popular Posts

*

*

ABOUT

CHUO KIMEJIKITA KATIKA KUTOA ELIMU BORA NA MAFUNZO BORA YANAYOKIDHI MATAKWA YA WATEJA NA KUWA MFANO WAKUIGWA KATIKA UJENZI WA TAIFA. CHUO KIMEFANIKIWA KUWATOA WALIMU WENGI AMBAO WAMETAWANYIKA TANZANIA NZIMA WAKIENDELEZA GURUDUMU LA KULIJENGA TAIFA.
CHUO KIMESAJILIWA NA NACTE KWA NAMBARI REG/TLF/056, USAJILI WAKUDUMU. CHUO KINATOA MAFUNZO YA UALIMU, MAENDELEO YA JAMII NA USTAWI WA JAMII KWA NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA.
WASILIANA NASI:-
0754 418 743
0757 412 126
0756 477 090
E-mail: aggreyttc@yahoo.com
Blogsite: www.aggreyteachers'college.blogspot.com