.

.

Jumanne, 7 Februari 2017

DHANA YA KKK
Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) ni msingi katika kujifunza ujuzi na maarifa yote yatolewayo kwa njia ya maandishi.
Mtu yeyote anayekusudia kupata ujuzi na maarifa ya masomo mbalimbali kupitia mfumo rasmi  shuleni, inampasa ajifunze na kuelewa vema  KKK.
10533852_302712236576870_1789663602341715221_n
Dhana ya KKK inapatikana katika masomo yote ambayo yanawasilishwa kwa maandishi.
Watu wengi hufikiri kuwa KKK hufundishwa na inastahili kufundishwa katika masomo ya lugha hasa Kiswahili na English tu, hii si kweli kwa sababu masomo yote hueleweka kwa mlengwa baada ya kupata stadi za KKK.
Ungana nasi katika sehemu ya pili ya Makala hii upate ufahamu zaidi kupitia swali linalouliza;
Je, kuna umuhimu gani kufundisha KKK katika  masomo mengine?

Jiunge na CHUO CHA UALIMU AGGREY


0 maoni:

Chapisha Maoni

AGGREY TEACHERS' COLLEGE MBEYA

AGGREY TEACHERS' COLLEGE MBEYA

LIKE US ON FACEBOOK

VIEWERS

Aggrey Teachers' College-Mbeya. Inaendeshwa na Blogger.

PAKUA APP YETU HAPA

E-LIBRARY (MAKTABA)

E-LIBRARY (MAKTABA)
SOMA VITABU HAPA.

Popular Posts

*

*

ABOUT

CHUO KIMEJIKITA KATIKA KUTOA ELIMU BORA NA MAFUNZO BORA YANAYOKIDHI MATAKWA YA WATEJA NA KUWA MFANO WAKUIGWA KATIKA UJENZI WA TAIFA. CHUO KIMEFANIKIWA KUWATOA WALIMU WENGI AMBAO WAMETAWANYIKA TANZANIA NZIMA WAKIENDELEZA GURUDUMU LA KULIJENGA TAIFA.
CHUO KIMESAJILIWA NA NACTE KWA NAMBARI REG/TLF/056, USAJILI WAKUDUMU. CHUO KINATOA MAFUNZO YA UALIMU, MAENDELEO YA JAMII NA USTAWI WA JAMII KWA NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA.
WASILIANA NASI:-
0754 418 743
0757 412 126
0756 477 090
E-mail: aggreyttc@yahoo.com
Blogsite: www.aggreyteachers'college.blogspot.com